www.rutaalicia.blogspot.com
DVD hii itakupa mwangaza ni jinsi gani unaweza kuendesha maisha yako bila ya kutegemea ajira za serikali,utajifunza kila kitu kuhusu ujasiriamali,kuanzisha kampuni,kutunza kumbukumbu za kibiashara na zaidi ya yote ni jinsi gani unaweza kutumia mtandao kujipatia kipato(how to make money on line).KWA WATAKAOHITAJI TAFADHALI WASILIANA NA NAMBA 0714101838/ 0752346930/ 0718213540/ 0765171745 AU KWA BARUA PEPE aliciarutajumbukilwa@gmail.com
TUMSIFU THE GREAT
About Me
- TUMSIFU HARRY KOMBE
- Am a student at SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY [SEKOMU], A JOURNALIST AND MANAGING DIRECTOR AT TUMSIFU THE GREAT FILMS, ALSO A GRAPHICS DESIGNER, AUDIO AND VIDEO PRODUCER
HARAKATI
The great akiwa na Mbunge wa Arusha Mjini MH GODBLESS LEMA
CHAT ROOM
Try Relay: the free SMS and picture text app for iPhone.
LABELS
- 2 (1)
- BUSSINESS NEWS (4)
- ENTERTAINMENT GOSSIP (28)
- FILMS (10)
- INTERNATIONAL NEWS (5)
- PICHA UCHI (5)
- SPORTS (2)
- STUDENTS NEWS (11)
- TANZANIA NEWS (41)
- TECHNOLOGY (1)
WASOMAJI
TUMSIFU KOMBE-Junior THK. Powered by Blogger.
KUWA MMOJA WAPO WA WADAU! FOLLOW HERE!!
SOMA HABARI ZILIZOPITA
BEHIND THE SCENE
-
MOVIE SHOOTING
Wakati wa utengenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL -
BACK TO SCHOOL
SHOT IN TANGA TANZANIA -
MUSIC VIDEO
Wakati wa utengenezaji wa music video inakwenda kwa jina la I NEED U -
MOVIE BACK TO SCHOOL
Directed by TUMSIFU KOMBE -
BACK TO SCHOOL
wakati wa utrngenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL -
MOVIE NAME-WIVU
Behind the scene ya upigaji picha wa movie inayoitwa WIVU -
MUSIC VIDEO HERE
Upigaji wa picha wa Music video, msanii anajulikana kwa jina la Rider, wimbo DECEMBER, Shot in Tanga Tanzania -
MOVIE-WIVU HERE
Upigaji picha wa movie inayojulikana kwa jina la WIVU
Showing posts with label BUSSINESS NEWS. Show all posts
Showing posts with label BUSSINESS NEWS. Show all posts
Tuesday, April 30, 2013
Monday, June 4, 2012
SEBASTIAN KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE-KUTANGAZWA KWA ZABUNI
TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA
P.O. BOX 370 , Lushoto.
Email: tumasosekuco@gmail.com
ZABUNI YA KUENDESHA CAFTERIA YA WANACHUO
KWA MWAKA 2012/2013
Sebastian Kolowa
University College ni Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini University.Chuo hiki
kipo umbali wa kilomita nane kaskazini
mwa mji wa Lushoto, Barabara kuu iendayo Mlalo , katika safu za milima ya
kijani kibichi ya Usambala kwa jina la utani ; Uswisi ya Afrika;
Chuo Kikuu kinakaribisha ZABUNI ya kuendesha Cafteria ya wanachuo.
Cafteria hii inauwezo wa kuhudumia watu wasiopungua 600 kwa wakati mmoja.
Sifa za mwombaji;
(a) Awe na leseni ya kuendesha Cafteria/Hoteri/Mgahawa.
(b)
Awe na VAT na
TIN. Aonyeshe uwezo wa kifedha
(c) Awe na uzoefu wa kuendesha Cafteria/Hoteri/Mgahawa kwa
muda usiopungua miaka mitatu au zaidi.
(d)
Ataje kiwango cha
kodi atakacholipa kwa mwezi. Cafteria inavifaa muhimu kama
vile meza, viti,meza za maandalizi na vyumba baridi vya kuhifadhia vyakula
mbalimbali.
(e) Ataje aina ya majiko atakayotumia Kwa kupikia kama vile Gesi Umeme au Mkaa.
(f) Aainishe aina za vyakula na bei zake.
(g)Awe
na vifaa vya msingi kama vile sahani, bakuli,
glasi, vikombe, vijiko, umma, visu n.k.
MASHARTI
YA ZABUNI;
(a)
Maombi
yaliyofungwa vizuri Kwa Lakiri na kuandikwa juu ya bahasha ‘ZABUNI YA KUENDESHA CAFTERIA YA WANACHUO’na kupelekwa kwa katibu,
Serikali ya Wanachuo TUSO – SEKUCo,
S.L.P 370, Lushoto.
(b)
Mwombaji
anatakiwa kulipa ada ya zabuni ya Tshs. 50,000/= (Elfu hamsini) tu, fedha
ambayo hairudishwi.Zabuni iambatane na pay- in – slip ya malipo hayo,
itakayolipwa kupitia, SEKUCo –SO. A/C No.
4162301220 NMB Lushoto Branch.
(c)Mwombaji ataruhusiwa kutembelea Cafteria hiyo siku za
kazi kuanzia saa 2.30 asubuhi hadi saa10.30 jioni.
(d)
Mzabuni
atatakiwa kuonyesha aina ya vyakula na bei zake.
(e)Siku ya mwisho ya kuleta zabuni itakuwa tarehe 14 Julai 2012 saa 4.00 asubuhi.
(f)
Zabuni
zitafunguliwa mbele ya wazabuni walioomba au wawakilishi wao kwenye ufunguzi
huo tarehe 14 Julai 2012 saa 4.00
asubuhi.
(g)
Muombaji
atakayefanikiwa ataruhusiwa kuendesha Cafteria husika.
Kwa mawasiliano zaidi piga
namba zifuatazo;
+255 7131 29097.
+255 7543 60761.
+255 7547 65515.
Katibu
SERIKALI YA WANACHUO TUSO –SEKUCo
S . L . P 370, LUSHOTO.
Sunday, May 13, 2012
CHUO KIKUU SEBASTIAN KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE CHATOA ELIMU YA URAIA VIJIJINI
Chuo kikuu kishiriki cha Tumaini university makumira, Sebastian Kolowa university College (SEKUco)kilichopo mkoani Tanga kimetoa elimu ya uraia kwa shule,na wananchi wilayani Lushoto.
Sebastian Kolowa university College (SEKUco) ambacho ni chuo pekee Tanzania kinachotoa Shahada ya Elimu ya mahitaji maalumu, Shahada ya Sheria pamoja na Shahada na Eco-tourism na Nature Conservation kilitoa elimu hiyo jana 10/05/2012 kwa Kuanzia na Shule ya sekondari Magamba iliyopo wilayani Lushoto
Kupitia Organisation iliyoanzishwa Chuoni hapo na wanafunzi wanaosoma Elimu ya Siasa na Uongozi (political science and Public Adminstration) ijulikanayo kama SEPSSA ( Sekuco Political Science Student Association) walitoa elimu ya Uraia kwa Wanafunzi wa Shule hiyo kuhusiana na maswala ya haki na wajibu wa raia, uchaguzi huru na wa haki, na kujibu Maswali mbalimbali yaliyoulizwa na wanafunzi hao-
![]() |
| WANAFUNZI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA |
Akifungua warsa hiyo Mwenyekiti wa SEPSSA Sande Salum, ambaye ni mwanafunzi wa Shahada ya Elimu Maalumu, Sayansi ya Siasa na Uongozi (POLITICAL SCIENCE NAD PUBLIC ADMINSTRATION) aliwasihi wanafunzi hao kuzielewa haki zao za kimsingi pamoja na kuwajibika kwa faida yao na Taifa kwa ujumla, Huku akiwaelezea umuhimu wa Rasilimali zilizoko wilayani kwako ikiwa ni pamoja na misitu na mazao mbalimbali ya chakula na matunda pia.
![]() |
| MWENYEKITI WA SEPSSA AKIWASILISHA MADA |
![]() | ||||||
| MHAMASISHAJI TEDDY SANGA AUGUSTINO |
![]() | ||||||||||
| KUTOKA KUSHOTO, HEADMASTER WA MAGAMBA SECONDARY. 2, MWALIMU 3. MJUMBE WA SEPSS, SANGA TEDDY AUGUSTINO, 3. MWENYEKITI WA SEPSSA MR. SANDE SALUM |

"SEPSSA FOR CHANGE"
Monday, August 1, 2011
kitabu " UKOMBOZI WA PILI WA TAIFA LETU" mtunzi, DEOGRATIUS KISANDU kipo mtaani.
DEOGRATIUS PIO KISANDU, Ambaye ndie mtunzi wa kitabu hiki Ni mwanafunzi wa shahada ya elimu maalumu, siasa na uongozi katika chuo kikuu cha SEBASTIAN KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE, TANGA'
Ni katibu wa baraza la vijana wa chadema (BAVICHA) mkoa wa Tanga, pia aliwahi kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Lushoto kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA uchaguzi mkuu mwaka 2010.
UKOMBOZI WA PILI WA TAIFA LETU, ni kitabu kinachozungumzia ukombozi wa wananchi wa Tanzania kutoka katika ukoloni, Pia kwa upande mwingine kinazungumzia ukombozi wa watanzani walio wengi kutoka kwa watanzania wenzao walio wachache ambao wanatumia ufisadi ili wafaidi wao na familia zao.
Kitabu hiki kinaamsha hamasa miongoni mwa wanaharakati wanaopenda haki na usawa, Wanaharakati wasiopenda rushwa, uonevu na ukandamizaji wa aina yoyote kutoka kwa mafisadi wachache.
KITABU HIKI NI MAALUMU KWA WAPIGANIAJI HAKI KWA WANYONGE, WANAHARAKATI WASIOTISHIWA NA MITUTU YA BUNDUKI KATIKA KUDAI HAKI ZAO
UZINDUZI WA KITABU KWA MKOA TANGA UTAFANYIKA SIKU YA ALHAMISI TAREHE 3/08/2011. LAL HOTEL ( ofisi ndogo ya chadema) barabara ya 13 kwa 14 karibu na TANGA CINEMA ( majani ya chai) maeneo ya stend.NA KITAENDELEA KUZINDULIWA KATIKA MIKOA YOTE TANZANIA, TAARIFA YA WAPI NA LINI MTAIPATA HAPAHAPA.
kwa mawasiliano zaidi ya jinsi ya kupata kitabu hiki, piga simu no, 0655025609
0786025609
kisandudp@yahoo.com
DEOGRATIUS PIO KISANDU, Ambaye ndie mtunzi wa kitabu hiki Ni mwanafunzi wa shahada ya elimu maalumu, siasa na uongozi katika chuo kikuu cha SEBASTIAN KOLOWA UNIVERSITY COLLEGE, TANGA'
Ni katibu wa baraza la vijana wa chadema (BAVICHA) mkoa wa Tanga, pia aliwahi kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Lushoto kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA uchaguzi mkuu mwaka 2010.
![]() |
| DEOGRATIUS KISANDU, MWANDISHI WA KITABU. |
UKOMBOZI WA PILI WA TAIFA LETU, ni kitabu kinachozungumzia ukombozi wa wananchi wa Tanzania kutoka katika ukoloni, Pia kwa upande mwingine kinazungumzia ukombozi wa watanzani walio wengi kutoka kwa watanzania wenzao walio wachache ambao wanatumia ufisadi ili wafaidi wao na familia zao.
Kitabu hiki kinaamsha hamasa miongoni mwa wanaharakati wanaopenda haki na usawa, Wanaharakati wasiopenda rushwa, uonevu na ukandamizaji wa aina yoyote kutoka kwa mafisadi wachache.
KITABU HIKI NI MAALUMU KWA WAPIGANIAJI HAKI KWA WANYONGE, WANAHARAKATI WASIOTISHIWA NA MITUTU YA BUNDUKI KATIKA KUDAI HAKI ZAO
![]() |
| JALADA LA KITABU |
kwa mawasiliano zaidi ya jinsi ya kupata kitabu hiki, piga simu no, 0655025609
0786025609
kisandudp@yahoo.com
Subscribe to:
Posts (Atom)
RIDER_DECEMBER OFFICIAL VIDEO, VIDEO DIRECTED BY TUMSIFU KOMBE THE GREAT
CHAZ MAVOKO-SONG KWAHERI, Video directed by Tumsifu the great films
wibiya widget
SIKILIZA RADIO KISS FM HAPA
SOMA MAGAZETI HAPA
center>
ADVERTISE HERE
SOMA HABARI MPYA
LIKE PAGE YETU
MEET ME ON FACEBOOK
WEBSITES LINK
HABARI ZILIZOBAMBA
-
W ashiriki wa shindano la Redd's Miss Tanga 2013, linaloandaliwa na kampuni ya DATK Entertainment, ambalo litafanyika Jumamosi wi...
-
Kundi chipukizi toka Moshi Town, Gaza Cross na wimbo wao wa " MASOJA " mahadhi ya Dancehall/Kwaito wakiwakilisha vema muziki wa...
-
Msimu wa utoaji tuzo kwa wasanii wa muziki Tanzania wanaofanya vizuri umewadia huku mchakato wa awali wa mchanganuo wa tuzo hizo za ...
PROUDLY SPONSERED BY
COMMENT HERE.....ACHA UJUMBE HAPA
BLOG MARAFIKI
-
-
-
-
-
-
-
-
Cheka nuna.12 years ago
-
-
-
-
-
-











