.

.

.

.


TUMSIFU THE GREAT

BEHIND THE SCENE

  • MOVIE SHOOTING

    Wakati wa utengenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • BACK TO SCHOOL

    SHOT IN TANGA TANZANIA
  • MUSIC VIDEO

    Wakati wa utengenezaji wa music video inakwenda kwa jina la I NEED U
  • MOVIE BACK TO SCHOOL

    Directed by TUMSIFU KOMBE
  • BACK TO SCHOOL

    wakati wa utrngenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • MOVIE NAME-WIVU

    Behind the scene ya upigaji picha wa movie inayoitwa WIVU
  • MUSIC VIDEO HERE

    Upigaji wa picha wa Music video, msanii anajulikana kwa jina la Rider, wimbo DECEMBER, Shot in Tanga Tanzania
  • MOVIE-WIVU HERE

    Upigaji picha wa movie inayojulikana kwa jina la WIVU

Showing posts with label STUDENTS NEWS. Show all posts
Showing posts with label STUDENTS NEWS. Show all posts

Wednesday, August 14, 2013

MWANAFUNZI MOSHI ATEKWA NA KUFANYISHWA NGONO KWA SIKU NNE

       MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki jimbo la Moshi, (jina limehifadhiwa) alitekwa na kukufungiwa kwenye hoteli moja ya kitalii mjini hapa na kufanyiwa vitendo vya ngono kwa muda wa siku nne mfululizo.
Mwanafunzi huyo anadaiwa kutekwa Agosti 6 mwaka huu na kijana mmoja (jina linahifadhiwa) mfanyakazi wa kampuni ya simu za mikononi (Airtel) mjini Dodoma.
   Akizungumza tukio hilo, kaka wa mwanafunzi huyo, Joseph Temba, alidai mdogo wake alitekwa na mtu huyo na tayari mtuhumiwa ameshakamatwa.
Alisema walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo Agosti 10, mwaka huu, katika baa moja akiwa na mdogo wake baada ya raia wema kutoa taarifa za kuonekana kwake.
Kwa mujibu wa kaka wa mwanfunzi huyo siku ya tukio alipokea simu kutoka kwa mwangalizi wa wanafunzi (matroni) akimjulisha kutokuwapo bwenini kwa mdogo wake na ndipo walipoanza kufuatilia na kutoa taarifa kituo kikuu cha polisi mjini Moshi na kupewa namba Mos/RB/9196/2013.
      Alisema siku iliyofuata ya Agosti saba jioni walipokea simu kutoka kwa watu wa karibu wakiwataarifu kuwapo katika hoteli hiyo mdogo wake lakini baada ya kufika walinyimwa kuona kitabu cha wageni ili kuangalia orodha ya majina ya wageni waliofikia hapo ili kujiridhisha kama mtuhumiwa huyo alikuwapo mahali hapo.
Hata hivyo alisema jioni ya Agosti 10

Friday, May 24, 2013

DENTI CHUO APIGA PICHA CHAFU AKIJIFANANISHA NA RIHANNA

Huyu ni mwanafunzi wa chuo(jina kapuni) aliyehamua kupiga picha ya utupu ili afanane na Rihanna Katika pozi...

Mwanafunzi Huyu ambaye yeye Binafsi anapenda kujifananisha na mwanamuziki asiyeishiwa na skendo Rihanna alifikia uhamuzi wa kujimulika na kamera na hatimaye

Saturday, May 4, 2013

MWANACHUO IFM AUAWA KWA CHAKULA CHA SUMU


          Habari  toka chuo cha usimamizi wa fedha,  IFM- Dar es salaam  ni  kwamba  mwanafunzi  mmoja ambaye  bado  hatujafanikiwa  kulipata  jina  lake  amefariki  dunia  kwa  kulishwa  sumu  katika  chakula  alicholetewa  na  mpenzi  wake  ambaye  ni  mke  wa  mtu


          Taarifa  zaidi  zinadai  kwamba Mwanafunzi huyo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na mke  wa mtu  ambaye  mbali  na  starehe  za  kimapenzi  alikuwa  pia  anampekea  chakula  cha  jioni


Baada ya  mchezo  huo  kudumu  kwa  muda, mume wa  mwanamke  aliusoma  mchezo  mzima  na  kuandaa  tego  la  kuwaangamiza  wote.

Thursday, March 21, 2013

WANAFUZI WASHINDA DANGURO, WAFANYA BIASHARA YA UKAHABA


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Majani ya Chai iliyopo Kipawa jijini Dar es Salaam, wametajwa kujiingiza katika kashfa ya ngono, kuvuta na kuuza bangi katika moja ya nyumba zinazozunguka shule hiyo.

Hilo ni tukio lingine jipya, kwani mwishoni mwa mwaka jana, kuliibuka matukio ya ajabu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi, Ruaruke, Rufiji mkoani Pwani ambao walielezwa kujihusisha na uvutaji bangi hata kukonyeza na kubaka walimu wao.

Mkuu wa Sekondari hiyo, Jasinta Assey alikiri na kusema kwamba vitendo vya uvutaji bangi na biashara ya ukahaba kwa wanafunzi wake, vinachangiwa na

Tuesday, January 8, 2013

KIFO CHA MWANAFUNZI ALIYEFIA HOTELI YA SOUTHERN RESORT CHAZIDI KUWA KITENDAWILI

JACKLINE MUSA MATIKO ENZI ZA UHAI WAKE
UTATA mkubwa umegubika kifo cha mwanafunzi Jackline Musa Matiko (15) aliyekuwa akisoma katika Shule ya Sekondari Juhudi iliyopo Gongo la Mboto Wilaya ya Ilala aliyekutwa amekufa katika Hoteli ya Southern Resort, Kigamboni Dar es Salaam baada ya wazazi wake kudai kuwa hakufa maji bali alinyongwa.
JENEZA LA MWILI WA MAREHEMU JACKLINE MUSA MATIKO  
  Akizungumza  na uwazi  mwishoni mwa wiki iliyopita, baba wa marehemu, Mussa Matiku alisema baada ya kuikuta maiti ya mtoto wake kando ya bwawa katika hoteli hiyo na kuichunguza shingo yake aliiona imelegea na tumbo lake halikujaa maji kama watu wanaokufa kwa maji wanavyokuwa. 

Alisema kwa vigezo hivyo ni wazi kwamba mwanaye hakufa maji na amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini waliomuua kikatili binti yake.


 Naye mjomba wa marehemu ambaye alikuwa na Jackline kabla ya kifo chake aliyejitambulisha kwa jina moja la Abdul, alisema  binti huyo alitoka nyumbani kwa wazazi wake maeneo ya Mazizini Ukonga kwenda Gongo la Mboto kwa bibi yake kusherehekea Sikukuu ya  Mwaka  Mpya. BONYEZA READ MORE KUPATA TAARIFA KAMILI

Sunday, December 16, 2012

PICHA 200 ZA WELCOME FIRST YEAR- SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY ( SEKOMU)


REV. WALALAZE, DEAN OF STUDENTS, AKIFUNGUA SHEREHE HIYO.


l
LECTURER SECHELA-PROFFESSIONAL REFEREE

     







 


 

WAKALI WA VIDUKU NAO WA.LIKUWEMO...........................


KUANGALIA PICHA ZAIDI BONYEZA PALIPOANDIKWA READ MORE

Friday, July 1, 2011

MSHINDI MR. INTER-COLLEGE, LUSHOTO, TANGA

Zifuatazo ni picha za pozi mbalimbali  mshindi wa mashindano ya kumtafuta mr. intercollege katika vyuo vitatu, ambavyo ni Sebastian kolowa university College,[SekuCO], Chuo cha uongozi wa mahakama IJA, Na chuo cha maendeleo ya jamii lushoto.
        Mshindi katika mashindano hayo alikuwa ni EDWIN JOHN, Mwanafunzi wa shahada ya elimu maalum katika chuo kikuu cha Sebastian kolowa university college, lushoto TANGA.


MR intercollege katika pozi

Mr intercollege akiwa na  mshiriki mwenzake wa kumtafuta Miss intercollege, Elizabeth George, ambaye pia ni mpenzi wake.



MR intercollege akiwa na mshiriki mwenzake ambaye pia ni mshindi wa tatu katika shindano hilo, Sentongo ROBERT.

Mshindi namba tatu katika shindano  hilo ambaye pia ni mwanafunzi katika chuo kikuu Sebastian kolowa university college, Sentongo ROBERT.

Thursday, May 26, 2011

LORD EYES ASAKWA KWA KUBAKA. NI DENT WA IFM

RB ya Kituo cha Polisi cha Mabatini, Kijitonyama jijini Dar es Salaam iliyofunguliwa kwa jalada namba KJN/ RB/ 3397 inamsaka mtu anayetajwa kwa jina la Lord Eyez kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa Chuo   Cha Usimamizi wa Fedha (IFM).
           Chanzo chetu cha uhakika kimeeleza kuwa, alfajiri ya Jumapili, Mei 22, mwaka huu Lord Eyez anadaiwa  kufanya kitendo hicho baada ya kutoka na denti huyo katika ukumbi mmoja wa burudani katikati ya jiji.   Awali Lord Eyez alikodi teksi sambamba na msichana huyo (jina lake linahifadhiwa) aliyekuwa akitaka kurudishwa chuoni kwake IFM.        Inadaiwa kuwa, Lord Eyez alitaka kuchangia naye kuchukua teksi hiyo ili kila mmoja apelekwe kwenye maskani yake.    “Lord Eyez alimghiribu denti yule kuwa angekuwa wa kwanza kupelekwa na teski ile  hadi chuoni kwake kisha yeye angekuwa wa mwisho,” kilisema chanzo hicho.                          Mara baada ya denti huyo kupanda ndani ya teksi, Lord Eyez alimuamrisha dereva kuwapeleka Sinza bila ya kupitia katika Chuo cha IFM kama walivyokubaliana awali.

“Hata yule binti alipokuwa akimhoji dereva kwa nini haanzi kumpeleka chuoni, alimjibu kuwa alikuwa akisikiliza amri kutoka kwa Lord Eyez tu.”
           
Inadaiwa kuwa, wakati wakiwa katika safari ya kwenda Sinza, njiani Lord Eyez aligombana na msichana huyo hadi kumchana na chupa aliyokuwa akimtishia kumkata nayo.

Hata walipofika Sinza Mori, Lord Eyez alihakikisha anamdhibiti denti yule asiweze kufanya fujo.

“Alimchukua hadi chumbani katika nyumba moja ya wageni (gesti bubu) na hata yule demu alipokuwa akisema kuwa yeye si mpenzi wa Lord Eyes hakuna aliyemuamini kwa jinsi alivyokuwa amevaa,” kilisema chanzo chetu.

Inadaiwa kuwa, Lord Eyez alipoingia chumbani na denti huyo alimfanyia vurugu, akamchania nguo yake ya ndani na kumwingilia kwa nguvu.

Denti huyo alipata upenyo wa kuondoka baada ya Lord Eyez kuzidiwa na kilevi alichokitumia kwa kukisokota na kuchanganya na ungaunga uliomfanya kulewa chakari.                                                                                                                                                          
                                                                                                                                                                                                   

RIDER_DECEMBER OFFICIAL VIDEO, VIDEO DIRECTED BY TUMSIFU KOMBE THE GREAT

CHAZ MAVOKO-SONG KWAHERI, Video directed by Tumsifu the great films

wibiya widget

TUMSIFU THE GREAT © 2012.All Rights Reserved.Designed by Tumsifu Kombe Modified by Nicolaus Trac-0716 276 000 :ICT EXPERT Sponsored by: JIPANGE