TUMSIFU THE GREAT

.

.

.

.


TUMSIFU THE GREAT

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

TUMSIFU THE GREAT

TUMSIFU THE GREAT
  • HOME
  • TANZANIA NEWS
  • INTERNATIONAL NEWS
  • KASHFA ZA PICHA ZA UCHI
  • ENTERTAINMENT NEWS AND GOSSIP
  • BUSSINESS NEWS
  • STUDENTS NEWS
  • TECHNOLOGY
  • THE GREAT FILMS
  • SPORTS
  • PHOTO GALLERY

About Me

My photo
TUMSIFU HARRY KOMBE
Am a student at SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY [SEKOMU], A JOURNALIST AND MANAGING DIRECTOR AT TUMSIFU THE GREAT FILMS, ALSO A GRAPHICS DESIGNER, AUDIO AND VIDEO PRODUCER
View my complete profile

HARAKATI

HARAKATI
The great akiwa na Mbunge wa Arusha Mjini MH GODBLESS LEMA

CHAT ROOM


Try Relay: the free SMS and picture text app for iPhone.

LABELS

  • 2 (1)
  • BUSSINESS NEWS (4)
  • ENTERTAINMENT GOSSIP (28)
  • FILMS (10)
  • INTERNATIONAL NEWS (5)
  • PICHA UCHI (5)
  • SPORTS (2)
  • STUDENTS NEWS (11)
  • TANZANIA NEWS (41)
  • TECHNOLOGY (1)

WASOMAJI

free counters
TUMSIFU KOMBE-Junior THK. Powered by Blogger.

KUWA MMOJA WAPO WA WADAU! FOLLOW HERE!!

SOMA HABARI ZILIZOPITA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

BEHIND THE SCENE

  • MOVIE SHOOTING

    Wakati wa utengenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • BACK TO SCHOOL

    SHOT IN TANGA TANZANIA
  • MUSIC VIDEO

    Wakati wa utengenezaji wa music video inakwenda kwa jina la I NEED U
  • MOVIE BACK TO SCHOOL

    Directed by TUMSIFU KOMBE
  • BACK TO SCHOOL

    wakati wa utrngenezaji wa movie inayoitwa BACK TO SCHOOL
  • MOVIE NAME-WIVU

    Behind the scene ya upigaji picha wa movie inayoitwa WIVU
  • MUSIC VIDEO HERE

    Upigaji wa picha wa Music video, msanii anajulikana kwa jina la Rider, wimbo DECEMBER, Shot in Tanga Tanzania
  • MOVIE-WIVU HERE

    Upigaji picha wa movie inayojulikana kwa jina la WIVU

Showing posts with label TANZANIA NEWS. Show all posts
Showing posts with label TANZANIA NEWS. Show all posts

Thursday, December 12, 2013

AJALI MBAYA-BUS LA BURUDANI, YAUWA 12, MAJERUHI ZAIDI YA 50

Basi la Burudani linalofanya safari zake za lushoto/korogwe kwenda Dar es salaam leo limepata ajali katika kijiji cha Taula Wilaya ya Handeni, Imeripotiwa mpaka sasa watu zaidi ya 12 wamefariki na majeruhi zaidi ya 55. Watu 4 wamepelekwa MOI na KCMC. .



Hospitali ya wilaya ya Korogwe.

Majeruhi wakipatiwa matibabu.aption

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto) akiangalia mmoja wa majeruhi akipatiwa matibabu

Manesi wakiendelea na matibabu kwa majeruhi.

Mmoja wa majeruhi akiwa amelazwa kwenye benchi.

Wananchi wakiwa eneo la Hospitali.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA MKUU WA WILAYA YA KOROGWE, MRISHO GAMBO

Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 12:46 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Saturday, August 17, 2013

VIDEO-ALIYOYASEMA MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU SEKOMU JUU YA UCHIMBAJI WA MADINI LUSHOTO KATIKA MKUTANO WA KIJIJI

Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 11:43 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: STUDENTS NEWS, TANZANIA NEWS

Sunday, June 2, 2013

MATOKEO YA UCHAGUZI UPSF, SUA MAZIMBU CAMPUS

MATOKEO YA UCHAGUZI UPFS SUA MAZIMBU CAMPUS by Tumsifu Kombe

Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 12:22 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: STUDENTS NEWS, TANZANIA NEWS

BREAKING NEWSSS! MELI YA MIZIGO YA MV. ARAFAT INATEKETEA KWA MOTO TANGA

TAARIFA ZA HIVI PUNDE ZINADAI KUWA MELI YA MIZIGO YA MV ARAFAT INATEKETEA KWA MOTO KATIKA BANDARI YA TANGA, TAARIFA KAMILI HIVI PUNDE.
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 5:52 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Tuesday, May 28, 2013

HICHI NDICHO CHANZO CHA KIFO CHA MSANII ALBERT MANGWEA

 
Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa

Kuna taarifa kuwa chanzo cha kifo cha ghafla cha rapper Mangweir ni kuzidisha madawa ya kulevya aliyotumia usiku wa kuamkia leo. 
Hussein Original ambaye yupo Pretoria amesema Ngwear  na   M to the P  ambaye walikuwa room moja  wamekutwa wamezima   baada  ya  kuzidhisha  madawa  ya  kulevya...
Hata hivyo mwenyeji wa rapper Albert Mangwea aliyefariki leo jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini, amesema hit maker huyo wa Mikasi amefariki akiwa usingizini.
SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 4:33 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: ENTERTAINMENT GOSSIP, TANZANIA NEWS

BREAKING NEEEWS! ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA

TAARIFA ZILIZOUFIKIA MTANDAO HUU  HIVI PUNDE ZINAELEZA KUWA MSANII WA KIZAZI KIPYA ALBERT MANGWEA AMEFARIKI DUNIA AKIWA NCHINI  AFRIKA KUSINI.

               TAARIFA KAMILI KUHUSIANA NA KIFO CHAKE ITATOLEWA HIVI PUNDE
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 8:48 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: ENTERTAINMENT GOSSIP, TANZANIA NEWS

Friday, May 24, 2013

TANGAZO MUHIMU KWA WATANZANIA WOTE KUTOKA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)

" Mtanzania yeyote: kaa makini usiokote kitu chochote ambacho una mashaka nacho, kuna bomu zimerushwa toka nchi jirani Malawi zaidi ya 30 zenye uzito usiopungua tani 100. Hivyo basi uonapo kitu kipo kama chupa la chai chenye rangi ya fedha "usikiguse" piga namba 0756000042. SMS hii tuma kwa watu uwezavyo: Imetolewa na JWTZ/ LSL5CAMRM: Asante. "

Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 2:22 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Thursday, May 9, 2013

SHEKHE PONDA AHUKUMIWA KWENDA JELA MWAKA MMOJA


MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo imemuhukumu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Waislamu , Shekhe Ponda Issa Ponda kwenda mwaka mmoja jela. Kesi hiyo inawakabili jumla ya washtakiwa 53 ambao walikuwa wafuasi wa katibu huyo. 
Hakimu Sundi Fimbo alitoa hukumu hiyo asubuhi ya leo mahakamani hapo huku upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa serikali, Bernad Kongola. Awali ilidaiwa kuwa washtakiwa hao kwa pamoja walidaiwa kufanya maadamano haramu february 15 mwaka huu kwenda katika ofisi za DPP ambapo maandamano hayo yalizuiliwa na jeshi la polisi na wao
SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 5:13 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Sunday, May 5, 2013

BREAKING NEWS-MLIPUKO MKUBWA WATOKEA JIJINI ARUSHA

NUKUU TOKA REDIO MARIA

 ..watu wengi wamejeruhiwa miguu

......ni mlipuko

.....Olasiti Arusha

...kitu kilirushwa au kutokea chini kwenye moramu iliyo mwagwa....

....kuna watu wanahisiwa kuja eneo la tukio kwa gari na kurusha hiko kitu na kukimbia kutokomea na gari...maelezo ya mtoto mdogo anaye sadikiwa kuona watuhumiwa....
..watoto wengi na kina mama wamejeruhiwa.. 



 Mwendo wa kuelekea saa tano adhuhuri ya leo katika Parokia ya Mpya ya Yosefu Mfanyakazi iliyokuwa inafunguliwa leo, pametokea mlipuko uliojeruhi watu kadhaa.

Kwa mujibu wa taarifa zinazosikika moja kwa moja kupitia Radio Maria, Tanzania, mlipuko huo umtookana na kitu ambacho kinasadikika kuwa lilikuwa ni bomu. Hata na hivyo haijafahamika ikiwa ndivyo, lilikuwa ni bomu la kutegwa ama kurushwa kwa mkono. Ni vigumu na mapema sana kuthibitisha kilicholipuka. Tafadhali tuvute subira kwa kuisubiri taarifa ya Polisi.



Inaripotiwa kuwa wengi wamejeruhiwa miguuni na kulazimika kuwahishwa hospitalini kwa matibabu zaidi. Hakuna taarifa zozote za kifo zilizoripotiwa.
Kwa muda huu, viongozi mbalimbali wa Kanisa akiwemo mwakilishi wa Papa aliyekuwa anatabaruku Kigango hicho kilichozaliwa mwaka 2008 kuwa Parokia, Padre Francisco Padilla na viongozi wa jeshi la polisi na usalama, wanaendelea na kikao ili kuamua hatima ya misa iliyokatizwa.

HABARI KAMILI UTAIPATA HAPA SOON

Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 2:26 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Saturday, April 20, 2013

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA LUSHOTO


Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 12:29 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Thursday, April 4, 2013

HUYU NDIYE BABA ALIYEMZIKA MTOTO WAKE HAI-MBEYA

MKASA WA KUSIKITISHA wa baba kumuua mwanae kwa kumzika akiwa hai kutokana na mgogoro wa ndoa, umezidi kuibua mapya, baada ya mama mzazi wa marehemu ,Debora Riziki (3), kusimulia mkasa mzima .

Akizungumza kwa hisia kali, kijijini kwake Ibula, katika kata ya Kiwira, wilayani Rungwe, Mama mzazi wa Marehemu, Esther Mwambenja, alisema kabla ya tukio hilo kutokea kulikuwa na viashiria vingi vya mumewe kufanya ukatili.

Alisema tukio la mzazi mwenza huyo kumwiba mtoto na kwenda kumfanyia ukatili huo wa kinyama lilikuwa la pili, baada ya awali kumuiba akiwa na miaka miwili na miezi mine na alimrudisha kwa maandishi ya serikali ya kijiji.

Alisema katika tukio la kwanza la mtalaka wake huyo kumuiba mtoto wao huyo, lilitokea Septemba mwaka 2012, baada ya wiki chache za kumfukuza katika nyumba waliyokuwa wakiishi katika kitongoji cha Iponjola, kijiji cha Asenga, nyumba iliyotumika kuzikwa mtoto huyo.
MAITI YA DEBORA

Alitaja sababu za yeye kufukuzwa ni ugomvi uliotokana na yeye kuhoji sababu za kuficha fedha kiasi cha sh. 120,000 zilizotokana na wao kwa pamoja kufanya kazi ya kibarua katika mashamba kijijini hapo na baada ya malipo kutolewa mtalaka wake huyo alionesha kiasi kidogo cha sh.80,000.

Alisema ugomvi huo ndio ulisababisha yeye arudishwe kwa wazazi wake, lakini baada ya muda mfupi mwanaume huyo alimfuata na kumbembeleza ili warudiane na alipogoma aling’ang’ania aondoke na mtoto .

“Nakumbuka ilikuwa Novemba mwaka jana baada ya mimi kuondoka nyumbani kwake na kurudi kuishi hapa nyumbani, siku hiyo tukiwa shambani huyo bwana alikuja hapa nyumbani na kumkuta mwanangu wa kwanza (Neema Steven ) niliyezaa na mwanaume mwingine” alisema Mwambenja.

Alisema baada ya kufika eneo hilo majira ya saa mbili asubuhi alitumia ujanja na kufanikiwa kumuiba mtoto na kisha kutokomea naye kijijini kwao Asenga, hali ambayo ilisababisha kutoa taarifa kituo cha polisi Kiwira.

“Unajua kuwa baada ya kwenda kutoa taarifa polisi walitusaidia kufika kijijini kwao ambapo serikali ya kijiji ilikubali nimchukue mwanangu kwa kuwekeana mkataba wa kisheria kwa mujibu wa sheria, kwani alikuwa chini ya miaka saba”.

Aliongeza kuwa Novemba 15 mwaka 2012 serikali ya kijiji chini ya Mwenyekiti, Lutengano Mwakyoma na mashahidi watano wakiwemo wazazi na ndugu zake, walinikabidhi barua ya kuridhia kuondoka na mwanangu, huku ikimuonya mume wangu kutorudia kosa hili la kumuiba mtoto hadi hapo atakafikisha miaka saba.

MTOTO DEBORA ENZI ZA UHAI WAKE


Tukio la pili la kuiba mtoto.

Alisema tukio hilo lilitokea Novemba 29 mwaka jana 2012, ambapo alifika nyumbani kwao majira ya saa 12 :00 na kumkuta dada wa marehemu kumchukua mtoto akimdanga kuwa anaenda kusenya kuni eneo la jirani.

Aliongeza kuwa baada ya kuona dada wa marehemu anang’ang’ania kwenda wote alimuamuru arudi nyumbani kuchochea moto kwa kuwa kulikuwa kumeinjikwa mboga na kukubali kurudi.

“kwa mujibu wa maelezo ya mwanangu huyu wa kwanza alisema baada kurudi toka ndani, alikuta baba yake huyo ameondoka na mtoto na tuliporudi na kupokea taarifa hizo tulichanganyikiwa na kuanza kuhangaika hovyo” alisema mama wa marehemu.

Mwambenja alisema kuwa baada ya kucha siku ya pili asubuhi yake
SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 7:55 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Wednesday, March 20, 2013

WATUMIA NEMBO YA ITV KUTAPELI KWENYE MTANDAO



Matukio ya wizi kwa kutumia mitandano yameshamiri sana kwa nyakati hizi za teknolojia kukua, ambapo nembo ya kampuni  ya kurusha matangazo Tanzania  ITV kuhusishwa kwa namana moja au nyingine na wizi huu kwa kutumia mitandao. Taarifa toka ITV zinadai kuna watu waliofungua facebook page yenye nembo yao na kuwahadaa watu kuwa wao ni ITV na wanatoa mikopo kwenye mitandao kwa haraka haraka kwa vijana na wajasiriamali wote watakaojiunga nao, huku wakisema kuwa wao ni wanamiliki AKIBA SACCOS inayomilikiwa na bank ya AKIBA ambao nao wamekanusha kuutambua mtandao huo.
ITV imetumia ukurasa wake wa facebook  kuwataka washabiki wake wote kuwa makini na matapeli kwani wao hawautambui mtandao huo.
UKURASA WA FACEBOOK WA ITV UNAVYOONEKANA KUHUSIANA NA TAARIFA HIYO




Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 1:21 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Tuesday, March 19, 2013

PICHA-MOTO WAZUKA DUKA LA SIMU POSTA MTAA WA SAMORA



TUKIO HILI LIMETOKEA POSTA MTAA WA SAMORA JIJINI
SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 5:09 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Monday, March 11, 2013

BREAKING NEEEEEEWS- TANZANIA HAIJAFUNGIWA NA FIFA

AAAAA




TAARIFA ZA HIVI PUNDE ZILIZOKUWA ZINADAI KUWA TANZANIA IMEFUNGIWA NA FIFA KATIKA MICHEZO YAKE YA KIMATAIFA NCHINI, ZIMEKANUSHWA NA BONIFACE WAMBURA, ILA AKATOA ANGALIZO KAMA SERIKALI ITAENDELEA KUINGILIA SHUGHULI ZAO FIFA ITAIFUNGIA TANZANIA
.
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 4:08 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: SPORTS, TANZANIA NEWS

Tuesday, January 8, 2013

KIFO CHA MWANAFUNZI ALIYEFIA HOTELI YA SOUTHERN RESORT CHAZIDI KUWA KITENDAWILI

JACKLINE MUSA MATIKO ENZI ZA UHAI WAKE
UTATA mkubwa umegubika kifo cha mwanafunzi Jackline Musa Matiko (15) aliyekuwa akisoma katika Shule ya Sekondari Juhudi iliyopo Gongo la Mboto Wilaya ya Ilala aliyekutwa amekufa katika Hoteli ya Southern Resort, Kigamboni Dar es Salaam baada ya wazazi wake kudai kuwa hakufa maji bali alinyongwa.
JENEZA LA MWILI WA MAREHEMU JACKLINE MUSA MATIKO  
  Akizungumza  na uwazi  mwishoni mwa wiki iliyopita, baba wa marehemu, Mussa Matiku alisema baada ya kuikuta maiti ya mtoto wake kando ya bwawa katika hoteli hiyo na kuichunguza shingo yake aliiona imelegea na tumbo lake halikujaa maji kama watu wanaokufa kwa maji wanavyokuwa. 

Alisema kwa vigezo hivyo ni wazi kwamba mwanaye hakufa maji na amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini waliomuua kikatili binti yake.


 Naye mjomba wa marehemu ambaye alikuwa na Jackline kabla ya kifo chake aliyejitambulisha kwa jina moja la Abdul, alisema  binti huyo alitoka nyumbani kwa wazazi wake maeneo ya Mazizini Ukonga kwenda Gongo la Mboto kwa bibi yake kusherehekea Sikukuu ya  Mwaka  Mpya. BONYEZA READ MORE KUPATA TAARIFA KAMILI

SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 5:18 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: STUDENTS NEWS, TANZANIA NEWS

MSANII OMARY OMARY AFARIKI DUNIA

             Msanii maarufu wa miondoko ya mchiriku Omary Omary amefariki dunia

Taarifa tulizozipata ivi punde: Msanii wa muziki wa mchiriku hapa nchini Tanzania maarufu kama Omari Omari amefariki dunia leo...
Akielezea kifo cha msanii huyo, Mkubwa Fella ambaye ni jirani yake amesema marehemu Omari Omari alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na
  alikuwa amelazwa katika hospitali ya Temeke lakini usiku wa kuamkia leo mwanamuziki huyo alifariki dunia
  MSIBA WA OMARY OMARY UPO NYUMBANI KWAO TEMEKE MIKOROSHINI
         MUNGU AILAZE ROHO YA MAERHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMINI
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 4:15 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Friday, December 28, 2012

SAKATA LA NAIBU WAZIRI WA ELIMU KUWA NA ELIMU FEKI PAMOJA NA JINA FEKI LACHUKUA SURA MPYA.....!!!!!!!!!!!!!


NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bw. Philipo Mulugo, amesema yupo tayari kumthibitishia Mbunge wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Bw. Joseph Mbilinyi, maarufu 'Sugu', juu ya elimu aliyonayo kama alivyodai mbunge huyo.


      Bw. Mulugo aliyasema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na Majira kuhusu madai ya Bw. Mbilinyi ambayo ameyatoa katika vyombo vya habari kuwa, Waziri huyo ana elimu ya kuunga unga na jina lake kamili ni Amim.
SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 8:47 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Friday, December 21, 2012

GODBLESS LEMA ASHINDA RUFAA YA KESI YAKE

MH. LEMA MARA BAADA YA HUKUMU KUTOLEWA

Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema leo ameshinda rufaa ya kesi yake. Mahakama imejiridhisha kuwa madai ya udhalilishaji hayakuathiri uchaguzi wala mlalamikaji (CCM). Tangu sasa Lema ni mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema. CCM wameamriwa kulipa gharama za kesi hii tangu ilipofunguliwa mpaka ilipoishia
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 5:50 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Wednesday, December 5, 2012

MWANDISHI WA TANZANIA DAIMA APIGWA RISASI NA POLISI

 Mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima linalotolewa na kampuni ya free media, Shaban Matutu apigwa risasi kifuani
SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 10:07 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: TANZANIA NEWS

Wednesday, November 28, 2012

WAUNGANA KUMTUNGIA SHARO WIMBO WA MAOMBOLEZO


TUNDA MAN FT. MIRROR & RAYMOND - R.I.P SHAROMILIONER


Ni wimbo kwa kuomboleza kifo cha SHAROBARO, wasanii waliofanya wimbo huu ni pamoja na
Waliofanya hii ngoma ni  DOGO JANJA, PNC,KUTOKA MTANASHATI/.OSTAZ JUMA NAMUSOMA) ,STAMINA,COUNTRY BOY MTU CHEE,NAY WA
SOMA ZAIDI»
Posted by TUMSIFU HARRY KOMBE at 1:17 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: ENTERTAINMENT GOSSIP, TANZANIA NEWS
Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

RIDER_DECEMBER OFFICIAL VIDEO, VIDEO DIRECTED BY TUMSIFU KOMBE THE GREAT

CHAZ MAVOKO-SONG KWAHERI, Video directed by Tumsifu the great films

wibiya widget

SIKILIZA RADIO KISS FM HAPA

KAMA UNA HABARI,MAONI AU MAPENDEKEZO TUWASILIANE KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO 0714 599973 0755 243233 AU TUANDIKIE KUPITIA kombetumsifu@yahoo.com
Get This �

SOMA MAGAZETI HAPA

center>
  • home
  • Globalpublishers
  • Mwanaspot
  • Mwananchi
  • contact us

ADVERTISE HERE

ADVERTISE HERE

SOMA HABARI MPYA

Loading...

LIKE PAGE YETU

MEET ME ON FACEBOOK

Tumsifu Kombe

Create Your Badge

WEBSITES LINK

  • Technologytz
  • JIPANGE MEDIA GROUP
  • SALUTI5

HABARI ZILIZOBAMBA

  • PICHA ZA WASHIRIKI MISS REDS MKOA WA TANGA WALIPOTEMBELEA MAPANGO YA AMBONI JIONI LEO
    W ashiriki wa shindano la Redd's Miss Tanga 2013, linaloandaliwa na kampuni ya DATK Entertainment, ambalo litafanyika Jumamosi wi...
  • WASANII WA MOSHI, GAZA CROSS WAJA NA 'MASOJA'
    Kundi chipukizi toka Moshi Town, Gaza Cross na wimbo wao wa " MASOJA " mahadhi ya Dancehall/Kwaito wakiwakilisha vema muziki wa...
  • MSIMU MPYA WA KILI MUSIC AWARDS 2015 UMEWADIA
    Msimu wa utoaji tuzo kwa wasanii wa muziki Tanzania wanaofanya vizuri umewadia huku mchakato wa awali wa mchanganuo wa tuzo hizo za ...

PROUDLY SPONSERED BY

PROUDLY SPONSERED BY

COMMENT HERE.....ACHA UJUMBE HAPA

BLOG MARAFIKI

  • BAHARI YA MAARIFA
    DAR ES SALAAM MATOKEO YA TAIFA DARASA LA NNE 2017
    8 years ago
  • BONGOWEEKEND
    NITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAWEKEZAJI:RC NYONGO
    1 day ago
  • DINA MARIOS (DM)
    PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA VETERANI
    11 years ago
  • IRENE MWAMFUPE JAMII
    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), David Mattaka Ashitakiwa Tena Kwa Uhujumu Uchumi
    10 years ago
  • Kishymba Blog - Always On the spot!
    InnossB Ft Diamond Platnumz - Yope Remix | Download Mp3
    7 years ago
  • Lady Jay Dee
  • MATERUNI
    ENJOY EM EARPHONE AFFORDABLE PRICE HOLIDAY SEASONS
    7 years ago
  • Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI
    Cheka nuna.
    12 years ago
  • MTOTO WA KITAA
    RAIS JOHN MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA JCA NA BALOZI WA JAPAN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
    9 years ago
  • NEWS & YOUTH FORUM
    Polisi Dar kuchunguza maandamano ya Waislamu
    13 years ago
  • REAL MLUMBAZ BLOG
    Sekta ya afya Kiteto kuimarishwa..
    8 years ago
  • SEKUCO HABARI
    TUMSIFU THE GREAT: MASHINDANO YA INTERCOLLEGE LUSHOTO YAFANA, SHETA AFUNIKA MBAYA!
    14 years ago
  • The kilimanjaro Band
    PICHA YA LEO
    8 years ago
  • UDOM CHAMBER[UC] BLOG
    Free Weekly Forklift Inspection Checklist Template
    7 years ago
TUMSIFU THE GREAT © 2012.All Rights Reserved.Designed by Tumsifu Kombe Modified by Nicolaus Trac-0716 276 000 :ICT EXPERT Sponsored by: JIPANGE